: :inin Kyiv (EET)

Trump, Putin, Erdogan wanapolazimika kushirikiana


Erdogan

WAWILI kati yao wanaoongoza nchi zao kwa mkono wa chuma kwa misimamo isiyoeleweka inayobadilika kila mara kutokana na hulka na mazingira ya kisiasa kwenye nchi zao Rais Vladimir Putin wa Urusi anatikisana na mahasimu wake wa nchi za Magharibi akichekeana nao kinafiki, katika maeneo yanayorindima mapigano ikiwemo Syria anakomkingia kifua Rais Bashar al-Asaad ambaye anatishiwa kung’olewa madarakani na waasi wanaosaidiwa na Marekani.
Katikati ya mkanganyiko huo ni kundi la kigaidi la ISIS linalowindwa na Marekani lakini pia likimshambulia Asaad kutokana na msimamo wa kiimani lakini pia Putin anasigana na Ukraine aliyoipoka jimbo la Crimea.
Mwingine ni Rais Recip Tayyip Erdogan wa …read more

Source: Magazetini

World press about Ukraine

This website is created to observe information about Ukraine in the world media. More information about press.uaposition.com you can read here

World press category: terms & conditions