: :inin Kyiv (EET)

Mkhitaryan Kinachomtesa Old Trafford ni historia yake mwenyewe


MANCHESTER, England
MIONGONI mwa mastaa ambao usajili wao uliteka vichwa vya habari wakati wa majira ya kiangazi ni Henrikh Mkhitaryan.
Akitokea Borussia Dormund ya Bunderliga, kiungo huyo wa pembeni alitua Old Trafforrd kwa ada inayotajwa kuwa ni zaidi ya pauni milioni 20.
Kilichowashitua wengi si kiasi hicho kikubwa cha fedha, bali kipaji cha hali ya juu alichonacho staa huyo.
Kwa mujibu wa wachambuzi wa soka, Mkhitaryan angekuwa na faida kubwa kwenye kikosi cha Man United ambacho kilionekana kuwa ‘nyanya’ msimu uliopita.
Kinyume na matarajio hayo ya wachambuzi, staa huyo ameshindwa kupenya na kujihakikishia namba kwenye kikosi cha kwanza cha Man United.
Kutokana na hilo, mashabiki wengi …read more

Source: Magazetini

World press about Ukraine

This website is created to observe information about Ukraine in the world media. More information about press.uaposition.com you can read here

World press category: terms & conditions