: :inin Kyiv (EET)

MASHABIKI WA LIVERPOOL WANAFURAHIA RATIBA YA NUSU FAINALI EUROPA LEAGUE KWASABABU MOJA TU…


Baada ya raiba ya UEFA Champions League kutoka, ratiba ya Europa League pia nayo imewekwa hadharani ambapo michezo ya miwili ya raundi ya kwanza nay a pili imepangwa kupigwa April 28 na May 5.
Wakiwa na furaha ya matokeo ya matokeo ya ushindi wa kukumbukwa dhidi ya Borussia Dortmund, Liverpool imepangwa na Villarreal katika mchezo wake wa nusu fainali.
Manyambizi hao wa njano kutoka Hispania wanakamatia nafasi ya nne kwenye msimamo wa La Liga hawajawahi kukutana na Liverpool hata mara moja kwenye historia lakini watakuwa na wakati mgumu kutokana na mchezo wao wa marudiano kupigwa kwenye dimba la Anfield.
Mashabiki wa Liverpool wamefurahishwa …read more

Source: Magazetini

World press about Ukraine

This website is created to observe information about Ukraine in the world media. More information about press.uaposition.com you can read here

World press category: terms & conditions