: :inin Kyiv (EET)

MAREKANI YAWAWEKEA VIKWAZO ‘MABILIONEA WA PUTIN’


WASHINGTON, MAREKANI

MAREKANI imewawekea mabilionea saba washirika wa Rais wa Urusi, Vladimir Putin, hali inayozidi kufufua kile kinachoitwa Vita Baridi mpya.
Waliolengwa ni pamoja na mfanyabiashara wa vyuma Oleg Deripaska, anayeelezwa kufanya kazi kwa niaba ya Serikali ya Urusi pamoja na Alexei Miller, mkurugenzi wa kampuni kubwa ya nishati inayomilikiwa na serikali ya Gazprom.
Mali zao zozote zilizo katika maeneo yaliyo chini ya umiliki wa Marekani zitataifishwa.
Pia walio katika orodha hiyo ni Suleiman Kerimov, anayechunguzwa na Ufaransa kwa tuhuma za kuingiza mabilioni ya euro katika masanduku yaliyojaa fedha taslimu, na Kirill Shamalov, bilionea anayeripotiwa kuwa mkwe wa Putin.
Zaidi ya hayo, utawala wa Rais …read more

Source: Magazetini

World press about Ukraine

This website is created to observe information about Ukraine in the world media. More information about press.uaposition.com you can read here

World press category: terms & conditions