: :inin Kyiv (EET)

Manchester United yaamua Kufungua pochi iwasafirishe Mashabiki.


Manchester United ilipangwa na klabu ya Rostov kwenye droo ya hatua ya 16 bora ya Europa League. Na katika kuhakikisha kuwa wanaendelea kupata sapoti ya mashabiki klabu ya Manchester United imepanga kulipa gharama zote ambazo mashabiki wataingia kulipia Visa za Urusi kwa mashabiki watakaosafiri kwenye mchezo dhidi ya FC Rostov utakaofanyika March 9.
Manchester United watasafiri mpaka Rostov, klabu ambayo ipo umbali wa takaribani maili 2,000 Mashariki mwa Ukraine, kwa ajili ya mchezo wa raundi ya 16 bora na mashabiki takribani 500 wanatarajiwa kusafiri kwa ajili ya mchezo huu.
Klabu hiyo imepanga kulipa kiasi cha paundi 118.20 (£118.20) ambayo ni gharama ya …read more

Source: Magazetini

World press about Ukraine

This website is created to observe information about Ukraine in the world media. More information about press.uaposition.com you can read here

World press category: terms & conditions