: :inin Kyiv (EET)

MANCHESTER CITY VS MANCHESTER UNITED: MATCH PREVIEW


Huu ni moja ya michezo migumu katika Ligi Kuu England ukiwakutanisha mahasimu wawili wa jiji la Manchester, yaani Manchester City na Manchester United, huku timu zote mbili zikihitaji ushindi kwa hali na mali ili kuweza ama kujiweka katika mazingira ya mazuri ya kushiriki UEFA mwakani au kuchukua ubingwa kama itawezekana.
Manchester City wanaingia uwanjani kupambana na bila ya nahodha na beki wao tegemezi Vincent Kompany ambaye atakosekana kwa takriban mwezi mmoja baada ya kuumia katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya Dynamo Kiev uliopigwa katika mwa wiki.
City wamefanikiwa kutinga hatua ya robo fainali ya michuano ya Ligi ya Mabingwa …read more

Source: Magazetini

World press about Ukraine

This website is created to observe information about Ukraine in the world media. More information about press.uaposition.com you can read here

World press category: terms & conditions