: :inin Kyiv (EET)

KWAHERI BARACK OBAMA LAKINI…


NA MARKUS MPANGALA,
ZIMESALIA siku nne tu Rais wa Marekani, Barack Obama, kung’atuka madarakani.
Rais huyo anatarajia kumkabidhi Ikulu ya Marekani Rais mteule, Donald Trump, Ijumaa wiki ijayo.
Kabla ya tukio hilo kufanyika hivi karibuni Rais Obama alitoa hotuba ya kuaga taifa hilo akiwa mjini Chicago, nchini humo.
Kama kawaida yake, aliongea kwa pozi, sentensi moja na nyingine zilitawaliwa na tuo, alivuta pumzi, akatuliza kichwa.
Midomo yake ilitamka maneno yanayowavuta wapigakura, wanasiasa, viongozi na zaidi kuvuta usikivu miongoni mwa wanajamii.
Obama alikuwa yuleyule wa mwaka 2004 alipotikisa nchi hiyo alipokuwa Seneta Illinois. Obama alikuwa yuleyule wa mwaka 2008 akiomba ridhaa ya kuchaguliwa kuwa Rais wa Marekani.
Alikuwa …read more

Source: Magazetini

World press about Ukraine

This website is created to observe information about Ukraine in the world media. More information about press.uaposition.com you can read here

World press category: terms & conditions