: :inin Kyiv (EET)

Kilichoushinda ulimwengu Rwanda kinajirudia Syria?


Mapigano Syria yanahusisha pande zenye malengo tofauti zikisaidiwa na mataifa makubwa yenye masilahi tofauti
MAUAJI ya kutisha nchini Rwanda mwanzoni mwa miaka ya 1990, ni moja ya majinamizi mabaya zaidi yanayoendelea kuusumbua Umoja wa Mataifa (UN) na Magharibi hadi leo hii na haijulikani bado lini taswira hii mbaya itafutika.
Aliyekuwa Rais wa Marekani wakati huo, Bill Clinton, aliwahi kuiita kesi hii kama tukio moja kubwa kabisa analolijutia wakati wa urais wake.
Ndiyo maana si ajabu baada ya kustaafu kwake, shughuli zake nyingi za kibinadamu za taasisi yake ya Clinton Foundation zimejikita nchini humo.
Vita ya wenyewe kwa wenyewe ya Rwanda mwaka 1990 ilishuhudia kundi …read more

Source: Magazetini

World press about Ukraine

This website is created to observe information about Ukraine in the world media. More information about press.uaposition.com you can read here

World press category: terms & conditions