: :inin Kyiv (EET)

Keane: Toure ni hatari akiamua


MANCHESTER, ENGLAND
KIUNGO wa zamani wa klabu ya Manchester United, Roy Keane, amedai kwamba nyota wa Manchester City, Yaya Toure, ni mchezaji hatari pale anapoamua kujitolea kwa ajili ya timu yake.
Juzi klabu ya Man City ilishuka dimbani kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya Dynamo Kiev, ambapo City ilifanikiwa kushinda mabao 3-1, huku Toure akifunga bao moja na akitoa mchango mkubwa katika ushindi huo.
Akizungumza wakati wa uchambuzi wa mchezo huo na kituo cha ITV nchini England, Keane alisema kwamba kiungo huyo raia wa Ivory Coast, anakuwa na mchango mkubwa pale akiamua kuitafutia bao timu yake.
“Kuna wakati Toure uwanjani anachosha, …read more

Source: Magazetini

World press about Ukraine

This website is created to observe information about Ukraine in the world media. More information about press.uaposition.com you can read here

World press category: terms & conditions