: :inin Kyiv (EET)

HISTORIA YA UWANJA UTAKAOCHEZEWA FAINALI YA LIGI YA MABINGWA ULAYA


Cardiff, Wales
PAMOJA na kuwepo kwa viwanja vingi vya kwenye mataifa mbalimbali, lakini Uwanja wa Millennium uliopo mjini Cardiff nchini Wales, ambao utachezewa fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya, Juni 3 mwakani una historia ya kipekee sana.
Upo kwenye ziwa Taff katikati ya mji wa Cardiff. Uwanja huo umekuwa kivutio kikubwa kutokana na eneo uliopo na michuano ya ragbi iitwayo ‘Six Nations Championship’ hufanyika kila mwaka, hivyo watu wengi huudhuria na kufurahia.
Lakini wasichojua wengi ni kwamba uwanja uko kwenye eneo ambalo lina historia kubwa, ambapo uwanja huo ulipewa jina hilo ambalo zamani lilikuwa ni la hoteli, ambayo kwa sasa inaitwa
Angel. Ambapo hoteli …read more

Source: Magazetini

World press about Ukraine

This website is created to observe information about Ukraine in the world media. More information about press.uaposition.com you can read here

World press category: terms & conditions