: :inin Kyiv (EET)

Fundi Mkhitaryan, yupo kama hayupo Manchester


NA ALLY KAMWE,
UNAWEZA kujiuliza swali hili na ukakosa jibu. Jose Mourinho aliwaza nini kuwasajili wachezaji wabunifu kama Paul Pogba na Henrikh Mkhitaryan ikiwa bado ana mipango ya kucheza soka la kujilinda?
Pengine msimu huu Manchester United imekusanya kikosi chenye wachezaji wabunifu zaidi lakini jambo la kushangaza ni vipi Mourinho anaanza pambano dhidi ya Chelsea akiwa na lengo la kupata pointi moja.
Kipindi cha kwanza Jesse Lingard na Marcus Rashford walicheza muda mwingi kwenye mstari wa mabeki wa kati, ni ngumu kuona uwezo kama mfumo utawapa zaidi majukumu ya kujilinda.
Kwanini Mourinho anashindwa kumuamini Mkhitaryan na kuendelea kumtumia Marouane Fellaini? Je, Mkhitaryan ni mgonjwa?
Kama …read more

Source: Magazetini

World press about Ukraine

This website is created to observe information about Ukraine in the world media. More information about press.uaposition.com you can read here

World press category: terms & conditions